أول 200 سطر.
Kitu cha ajabu zaidi ya kumpenda mtu ni
kuwa na mpenzi mmoja katika maisha yako yote.
Sura ya tatu: Bado unanipenda?
-Sabalkheri? -Sabalkheri.
Tutakula kiamshakinywa chetu hivi karibuni, sawa?
Baada ya hiyo, nitakupeleka mahali unapotafuta.
Siwezi kufanya harusi hii.
Unamaanisha nini ati huwezi kufanya harusi hii?
Nina chaguo langu, mama.
Msichana huyo ni nani?
Msichana ninayempenda
ni Raina.
Hatimaye.
Nimechoka sana.
Mungu.
Raina yuko wapi? Hakuna habari kumhusu?
Hajapiga simu? Ako wapi?
Tulale tu.
Tulale unono tu.
Tupumzike. Tupumzike.
Ala!
Ala!
Ninaanza kupumzika na simu inalia! Ni nani?
Hujambo? Raince? Hujambo? Huyu ni nani?
Unazungumza na Shangazi Fora. Raince? Huyu ni Raince, sivyo?
-Hujambo? -Shangazi Flora, ni mimi! Raina!
Ndiyo! Nilijua! Nambari ni ya ng'ambo.
Ulikuwa wapi?
Kwa nini umenipigia sasa hivi?
Umenifanya niumwe na kichwa, unajua?
Nina wasiwasi kukuhusu.
Umenipigia simu sasa. Nina huzuni.
Ndiyo, Shangazi. Nisamehe. Kusema kweli, nilipoteza simu yangu!
Nini? Ilipotea? Mungu!
Raince, una tatizo gani?
Tayari nimekwambia usikose kuwa mwangalifu huko ng'ambo!
Kuwa mwangalifu! Una shida gani?
Na pasipoti yako je? Iko salama?
Mungu. Tafadhali kuwa mwangalifu, bibiye.
Sawa basi. Yuko wapi? Habari ya Rangga?
Yuko sawa? Ndiyo?
Nataka kuongea na yeye. Nataka kuongea na yeye kwa muda.
Nataka kuongea na yeye kwa muda.
Rangga...
Naam, Shangazi.
Rangga amelala. Ninaenda kuleta kiamshakinywa.
Usijali, Shangazi. Niko sawa hapa.
Gwenny lazima amelala, sivyo?
Mungu!
Tunakukosa sana. Unajua hiyo, Raince?
Natumai utakuja nyumbani hivi karibuni.
Kuja nyumbani hivi karibuni, sawa?
Nyumba hii ina kimya kingi bila wewe.
Ni kama makaburi. Tofauti sana.
Tofauti sana. Kuna kimya kingi sana.
Ndiyo. Natumai nitaenda nyumbani hivi karibuni. Nakukosa sana pia, Shangazi.
-Sawa. Kwaheri, Shangazi. -Kuwa mwangalifu, sawa?
-Nakupenda! -Kwaheri!
Yeye ni mrembo sana.
Simu yake ilipotea. Si ajabu hajanipigia.
Hatima ya Raina ambaye ni binti wa ubatizo kama Cinderella, si kama yako.
Kutoka makazi ya yatima aliishi kwako.
Halafu, anapendwa na mamako? Ana mpenzi tajiri?
Kwa nini mamako anampenda msichana huyo yatima?
KIPINDI CHA MAGIC HOUR
Shika. Asante, Tegar.
Baki nayo.
Kama bado unaihitaji, ni sawa.
Ulikuwa na shida gani hapo awali?
Ulionekana ukiwa na wasiwasi ulipokuwa unaongea kwenye simu.
Shangazi yangu aliniuliza kuhusu Rangga.
Ilibidi nidanganye. Sikujua cha kusema.
Tegar, si lazima uache kazi yako ili unisindikize.
Naweza kwenda mwenyewe.
Ni sawa.
Ulichosema hapo awali...
Kuna kitu ajabu zaidi kuliko kumpenda mtu.
Unafikiria ni nini?
Sikutarajia kwamba ungekumbuka nilichosema.
Kila mtu lazima ana maoni yake tofauti.
Kama walisema kumpenda mtu ndicho kitu cha ajabu,
basi ninawaamini.
Lakini kwangu,
kuna kitu ajabu zaidi kuliko kumpenda mtu.
Lakini hiyo ni kwa sababu nina jibu tofauti.
Kwa nini? Kuna tatizo na nilichosema?
Wewe!
Wewe!
Wewe hunikumbusha mtu.
Tegar! Kunanyesha! Kunanyesha!
Tegar, kunanyesha! Huogopi mvua?
Nini?
Kusema kweli, siogopi mvua pia.
Rangga, hakuna habari za Raina hadi leo.
Lazima umpate, sawa?
Uko wapi, Raina?
Ndiyo, Baba?
Hujambo, mpendwa wangu Mitha. Habari yako?
Niko sawa.
Na wewe je, baba?
-Uko sawa, sivyo? -Niko sawa. Ilikuwaje?
Bado hutakuja nyumbani likizo hii?
Tunakukosa sana.
Unajua, sivyo?
Sitakuja nyumbani kama mke wako bado yumo katika nyumba hiyo.
Sawa? Kwaheri!
Mitha hatakuja nyumbani tena?
Kwa sababu yangu, sivyo?
Flip-flop!
Nini?
Hujui kuhusu flip-flop ?
Hapana.
Rafiki yangu wa karibu na mimi tulikuwa tunacheza flip-flop sana.
Sharti ni kwamba mmoja wetu akisema flip na flop ,
matakwa yetu yatatimia!
-Huelewi? -Hapana.
Kwa hivyo, wakati huo huo, tunatoa ombi.
Baada ya hiyo, mmoja wetu atasema flip au flop .
Tukisema flip-flop , matakwa yetu yatatimia!
-Sawa? -Sawa. Siogopi.
Omba!
Omba kwanza.
Ndiyo. Usiwe hivyo.
Moja, mbili, tatu!
- Flip ! - Flop !
Eh!
-Ombi langu litatimia! -Wanatukodolea macho.
Ndiyo!
Basi tunafaa kufanya nini kingine?
Tuliangalia kila mahali lakini hatukupata chochote.
Hata hukutaka kunionyesha picha yake.
Basi? Ningekusaidiaje?
Najua, Kaka!
Nafaa kwenda kwenye kituo cha polisi. Nitaripoti kuhusu mtu aliyepotea.
-Kweli? -Una hakika?
Nifanye nini kingine?
Nina hofu! Sijui alilala wapi kwa siku mbili!
Sawa. Ni jukumu lako.
Sawa. Kwaheri.
Una shida gani? Mbona una joto la homa?
Sijui.
Labda nilipata homa.
Kuna watu wengi sana.
Sawa, basi. Unaweza kuagiza kwanza na nitatafuta mahali pa kuketi.
Samahani?
Kiti hiki kina mwenyewe?
-Hapana. Keti. Ndiyo. -Ndiyo?
Asante.
Naweza kukusaidia, bibiye?
Furahia.
Nitatuma stakabadhi hiyo sasa hivi, bosi.
Sawa, asante. Kwaheri.
Kesho asubuhi, nitaenda Singapore.
Unataka kuja, mpendwa?
Hapana. Nitabaki nyumbani, sawa?
Hiyo inashangaza.
Mpendwa, Mitha atanikataa hivi hadi lini?
Unatambua
kwamba huwa unauliza kuhusu suala hili kia siku.
Na sitaacha kukuuliza hadi nipate jibu.
Lakini huwezi kuwa hivi kila wakati.
Ndiyo, Bw. Charlie. Habari yako?
Unataka hiyo, sivyo?
-Ndiyo. Inaonekana tamu. -Ndiyo.
Ni pesa ngapi?
-Tumepata viti? -Ndiyo. Pale.
Lakini kuna mtu mwingine hapo.
-Hapa? -Ndiyo.
Yuko wapi?
Sijui.
-Furahia chakula chako. -Furahia chakula chako pia.
Mbona? Ni kibaya?
Ni kizuri.
Nimefikiria kitu.
Nikirudi huko na nifukuzwe tena,
sijui ninafaa kufanya nini hasa.
Enda kwenye fleti yangu.
Lakini kuna sharti.
Lazima utayarishe kiamshkinywa, kuosha vyombo, kufua nguo, na kupiga deki.
Dadangu atasema nini akijua
kwamba nilikuja huku kote hadi New York kuwa kijakazi?
Na mpenzi wako je?
Mpenzi wako ana tatizo gani?
Kama lazima nirudi kwenye fleti yako,
mpenzi wako atakuwa sawa?
Ni sawa.
Kusema kweli, nataka mkutane.
Ili muwe na uhusiano wa karibu.
Mpenzi wako anazungumza Kiindonesia?
-Yeye ni Mwindonesia, pia? -Ndiyo.
Usijali.
-Tunaweza kuwa marafiki. -Usijali.
Kula, halafu nitakupeleka huko.
Samahani kwa kuja hapa kwa ghafla, Shangazi.
Ni sawa, Gwenny.
Ni nini mbaya, Mpendwa? Naweza kukusaidia kwa chochote?
Kitu ni kwamba, Shangazi.
Shangazi Cindy ni rafiki ya dhati wa mama.
Na umejua familia yangu kwa muda mrefu.
Nilifikiri kwamba labda unajua kitu ambacho hadi sasa mimi sijui.
No comments yet. Be the first to leave one.