Magic Hour : The Series - Second Season

Magic Hour : The Series - Second Season

تنزيل الترجمة Swahili

الموسم 2

معلومات الإصدار

Magic Hour Season 2 Episode 03 Swahili
تعليق من kikywebsite

الوسوم

other
نشرت في: 2019-04-15
تنزيلات: 8
ضعاف السمع: No

معاينة ترجمة Swahili

أول 200 سطر.

Huyu ni mwanao kwa kweli?

Rangga, unafikiria nini?

Nafaa kuficha siri hii kutoka kwa mama kwa muda gani?

-Rangga... -Wewe!

Najua unachotaka kusema.

Usiwe na wasiwasi.

Niko sawa.

Niko sawa.

Sawa?

Unaenda wapi?

Nje.

Rangga, naenda na wewe!

Naenda kutembea kwa muda.

Kwaheri.

Nimeshakutana na Dkt. Surya.

Na madaktari wote waliomtunza Rangga.

Ikoje?

Mungu wangu.

Inasikitisha sana.

Umempigia Mitha simu?

Nimempigia, mama.

Lakini hakupokea simu.

Mnafaa kuzungumzia jambo hili.

Vilevile, haiwezekani kwa Mitha.

Alibadilika ghafla bila sababu.

Haiwezekani.

Lazima kuna sababu.

Vilevile, lazima uangalie mimba ya Mitha.

Lazima ukumbuke

kwamba tatizo hili siyo kati yako na Mitha tu.

Kuna mtoto asiye na hatia tumboni mwake pia.

Kama nyinyi wawili mlifanya uamuzi mbaya...

Maskini mtoto.

Mtoto atalaumiwa kabisa kwa hilo.

Ndiyo, mama.

Yakoje? Mambo yanaendeleaje?

Wiki moja imebaki.

Wiki moja imebaki

kabla ya sherehe, sivyo?

Ndiyo.

Orodha ya waalikwa iko wapi?

Imeshughulikiwa, mama.

Hans, usipuuze.

Moja ikienda chini, itakuwa msiba.

Kama kucheza kadi tu... Inaitwaje? Domino.

Ni nini?

Tukio moja linaanzisha matukio mengine sawa, nyanya.

Ni hivyo.

Unaelewa ninachosema, sivyo?

Ndiyo, mama.

Vipi, mpenzi!

Niko na wazazi wangu na nyanyangu.

Wasalimie.

Vipi, nyanya.

Mama na baba.

Hujambo, Troy?

Troy, utarudi lini?

Kuna vitu vingi ambavyo wewe na Sarah mnahitaji kufanya.

Sawa?

Nataka kila kitu kwenye sherehe yenu ya uchumba kiwe barabara.

Kumbuka,

familia yetu haijui unyenyekevu, sawa?

Kwa hivyo, kwanzia sherehe ya uchumba mpaka ndoa,

lazima ziwe mada zitakazovuma mwaka huu.

Usiwe na wasiwasi, nyanya.

Kabla mwaliko utoke,

nitakuwa Jakarta

pamoja na Sarah ili tutayarishe kila kitu. Sivyo, mpenzi?

Hilo ni kweli. Ndiyo maana unahitaji kuja nyumbani hivi karibuni, sawa?

Ili nyanya asihangaike tena.

Unajua jinsi ambavyo huwa anatia kila kitu chumvi.

Kutia chumvi vipi? Vipi?

Watu wanaitazama sana familia yetu kila wakati.

Watu hutufwatilia kwa makini.

Bila kutaja washirika wa babako.

Marafiki maarufu wa mamako.

Pamoja na marafiki zako.

Ona...

Nataka kuongea naye.

Ni hivi, Troy.

Nyanya anaogopa

kwa sababu ya kile kilichomfanyikia mtoto rafiki ya babake Sarah.

Sisi ni familia yenye heshima.

Ndiyo maana tunataka sherehe yenu ya uchumba iwe ya fahari na ipendeze.

Ili familia nzima ya babake Sarah na wafanyakazi wenzake waone.

Ili wakujue kama sehemu ya familia inayoheshimika.

Sawa?

Hilo ni kweli. Sawa?

Hilo ni kweli. Usiwe kama binti ya Sanjaya.

Mimba kabla ya ndoa.

Hajui baba ni nani.

Ni wazi kwamba ni jamaa mbaya.

Mungu aepushe mbali.

Sawa, mpenzi.

Kuja nyumbani hivi karibuni, sawa?

Hata hivyo, sherehe yetu ya uchumba itafanyika hivi karibuni.

Sawa, mpenzi. Nitakuja nyumbani hivi karibuni.

Mwambie nyanyako kwamba kila kitu kitakuwa sawa.

Na nitahakikisha kwamba uchumba wetu utaendelea vizuri, sawa?

Sawa, mpenzi.

Kwaheri.

Halo, Hans. Habari yako?

Niko sawa.

Ni hivi,

niko karibu kuja kwako kukupa mwaliko.

Si umwambie mtu aulete, Hans?

Huhitaji kufanya hivyo.

Hata hivyo, mambo yanaendeleaje? Kila kitu kiko sawa?

Eh... Naam...

Si hivyo, rafiki.

Unawajua wakwe wangu.

Anataka kila kitu kiwe ghali.

Anataka kila kitu kiwe barabara.

Anajali vitu ambavyo si muhimu.

Hayo ndiyo matokeo kama bado unaishi kwa wakwe wako.

Kilicho muhimu, Sanjaya,

ni kwamba nataka uje na familia, sawa?

Mitha na mumewe mtarajiwa pia.

Naam...

Hicho ndicho nimekuwa nikitaka kukwambia, Hans.

Kwamba,

ndoa imebatilishwa.

Nini kilifanyika?

Ukifika hapa,

nitakwambia kila kitu.

Sawa?

-Shangazi? -Naam.

Shangazi, kiweke kwa chumba kilicho kwa ghorofa ya juu tafadhali.

Mletee mume wangu kikombe cha chai, tafadhali.

-Sawa, bibiye. -Asante, shangazi.

Sawa basi. Sawa.

Ukikaribia kuja hapa,

niambie, sawa?

Sawa.

Tuonane.

-Shangazi. -Naam?

Nataka kumwona Mitha.

Kufika kwako hapa...

Pengine unataka kuzungumzia kukataa kwa Mitha jana usiku.

Kwa bahati mbaya,

Mitha hataki kukuona, Tegar.

Kwa hivyo, nitarudi leo usiku.

Nafaa kwenda.

Tegar.

Subiri.

Kuna kitu kimoja ninachofikiria kila mara.

Kama kweli Mitha anakupenda,

na wewe ni baba wa mtoto wake,

kwa nini Mitha hataki kufunga ndoa nawe?

Nyinyi wawili mnapanga nini?

Eh?

Ni nini?

Kama baba,

nina haki ya kulinda na kuunga mkono maamuzi yote ya Mitha.

Nataka uwe muungwana

na ukubali maamuzi yake.

Na...

...ni bora kwako usubiri mpaka Mitha awasiliane nawe.

Unaelewa, Tegar?

Nafaa kwenda.

Babake Mitha alisema kwamba unahitaji kusubiri simu zake?

Nini kinaendelea?

Rangga.

Naam?

Ulikuwa wapi jana usiku?

Kwa nini?

Unaona wivu? Unaogopa kuwa nina mpenzi mwingine?

Hapana, sioni wivu.

Nina wasiwasi tu kwamba ukiwa peke yako

na uwe mgonjwa, utafanya nini?

Tulia. Usifikirie kupita kiasi.

Pole.

Shangazi Flora? Kwa nini ananipigia simu?

Kwa nini hakupigii?

Ndiyo, kwa nini hanipigii?

Nipokee au wewe? Nitaipokea.

Halo, shangazi.

Halo, Rangga.

Ni mimi Shangazi Flora.

Ndiyo.

Habari yako, shangazi? Unataka kuongea na Raina?

Ndiye huyu. Subiri.

Hapana, sio hivyo.

Sitaki kuongea na Raina.

Nina habari mbaya kwako.

Habari mbaya?

Habari gani mbaya, shangazi?

Rangga...

Shangazi Flora amekwambia nini?

Mpenzi.

Rangga!

Shangazi Flora amekwambia nini?

Lazima turudi Jakarta sasa hivi.

-Sawa. Kwaheri. -Kwaheri.

Shangazi Cindy ni mgonjwa?

MAMA

MAMA, +6281275767879 ANAPIGIGWA SIMU

Rain, nimenunua tiketi.

Umemaliza kupanga?

Mpenzi, mizigo hii miwili imepangwa yote.

التعليقات

No comments yet. Be the first to leave one.

Keep it about this subtitle — sync, quality, typos.500 characters left