The first 200 lines.
Siku moja, kulikuwa na kasisi aliyekuwa na kasuku wa kike.
Kasuku huyo alitukana matusi machafu, kiasi cha kwamba niliaibika.
Kasisi alimwambia rafiki yake aliyekuwa hakimu
tatizo lake.
Hakimu alimwambia kasisi ampeleke kasuku huyo nyumbani kwake.
Alikuwa na kasuku wawili wa kiume wazuri sana.
Waliimba sifa za Allah siku nzima.
Ushirikiano mzuri ungefanya mabadiliko.
Kasisi alimpeleka kasuku nyumbani kwa hakimu.
Hakimu alimweka kasuku huyo wa kike ndani ya kizimba pamoja na kasuku wengine.
Punde tu alipoingia humo ndani, kasuku waliacha kukariri maombi.
Mmoja alitabasamu na kumgeukia mwingine
na kumnong’onezea sikioni.
Naweza kukunong'onezea sikioni mwako?
Amesema nini?
Acha kuimba jina la Mungu. Maombi yetu yamejibiwa.
Mzike.
Hii si haki, Mushtaq Bhai.
Kwa nini uniadhibu kwa usaliti wa Khalu?
Ningetoroka pia lakini sikutoroka.
Nilirudi kwako.
Angalia Mushtaq Bhai, niamini.
Kwa nini mna haraka hivi?
Angalau sikiza ombi langu la mwisho.
Mzaha mwingine?
Hapana.
Hadithi!
Rupia 1000 kwa siku.
Ni nini hii?
Nawab hutolewa bure pamoja na hii?
Suti ni ya Nawab wa Chandpur.
Yuko juu ya Haj. Ndiyo sababu hizi zinapatikana.
-Nizifunganye zote mbili? -Hapana. Moja tu.
Na kanzu yake ya bei rahisi.
Ya nini?
Ikiwa kuna Nawab, lazima kuwe na mtumishi wake.
-Wewe? Nawab? -Ndiyo.
-Vizuri, Khalu. -Hata uvae nini,
utaonekana kama mtumishi kila wakati.
Umekuwa na mitetemeko hii tangu lini?
Ni siku chache.
Mikono yake imekuwa ikitetemeka kwa muda mrefu.
Sasa ni adhuhuri. Unapaswa kumtazama asubuhi.
Ni kama tetemeko la ardhi!
Unajua mimi hufanya nini?
Huwa navunja mayai manne kwenye bakuli na kumpa kijiko.
Na kimanda chenye povu kilichopondwa vizuri kiko tayari.
-Andamana nami. -Ndiyo?
Andamana nami. Njoo.
Nilikuwa nafanya mzaha.
Unanipeleka wapi?
Babu yangu.
Ni daktari mashuhuri.
Ungependa kushauriana naye?
-Siioni. -Kuna tatizo lipi, bwana?
Bwana anasema kwamba
mikufu hii ni mibaya sana.
Mibaya kiasi cha kwamba inanuka.
Unasema nini, bwana?
Bwana, angalia hii.
Hii.
Nitaita gari.
Pervez, lete gari.
Na uwashe kiyoyozi.
Bwana hawezai kustahimili joto.
-Twende, bwana. -Bwana,
tafadhali tazama hii.
Kwa kweli, hatuwezi kuuza hii kihalali.
Kwa nini?
Hii iliibwa kutoka kwa Nawab wa Hyderabad,
aliye huko Pakistan.
Ni mkufu wenye thamani kubwa, bwana.
Lakini asilimia mia ya malipo itatolewa kwa pesa taslimu.
Ndiyo. Utapata hiyo.
-Kiasi gani? -Milioni tano.
-Malipo ya awali? -500,000.
Choo chako kiko wapi?
Choo?
Mtukufu mfalme huficha pesa zake
katika vazi lake la ndani.
Jumman, tafadhali mpeleke bwana msalani?
Angalia bwana.
Mtu anaweza kubeba kiasi gani kwenye vazi la ndani?
-Kadri ya nne au tano. -Vipi?
Mbili na nusu mbele na zingine nyuma.
Gani ndiyo swichi kuu?
-Ni saa ngapi? -Saa sita na nusu mchana.
Saa sita na nusu.
Eenie Meenie Miney Mo...
Ni nini kimetendeka, bwana?
Unafanya nini hapa?
Niko hapa kupora kutoka kwa duka lako.
Nilikuwa nashangaa swichi kuu ni ipi.
Acha nizime taa!
Niache.
Acha nizime taa!
Unaona, kuna tatizo gani?
Iko wapi taa ya dharura? Ilikuwa hapa.
Kuna mtu anawasha jenereta au la?
Samahani!
Washike!
Kimbia!
Khalu, kimbia!
Kimbia.
Habari ya leo, mabibi?
Unaweza kuitamani baadaye.
Nisaidie. Lazima tuondoke hapa.
Hakuna ngazi. Nitapanda juu vipi?
Nipe mkono wako. Usichukue muda mrefu.
Wewe, simama.
Hakuna wakati. Kimbia!
Tukutane makaburini,
nyuma ya msikiti saa tisa na nusu mchana. Sawa?
Khalu.
Wewe! Simama!
Usikimbie. Nitakupiga risasi.
Ni wakati wa kuamua.
Ni saa kumi na nusu tayari.
Eti nini?
Nikate kichwa chako au uume wako?
Unasema nini kaka?
Kama ningejua kuhusu usaliti wa Khalu,
singekuja hapa kufa.
Kichwa au uume wako?
Wewe ni mtu mtenda haki.
Hata hivyo, wewe ni jamaa yangu. Nihurumie.
Kichwa au uume wako?
Hili ni chaguo la aina gani?
Majangili wa Japan walikata vidole.
Unaweza kuchukua hiki.
Chukua vyote viwili.
Achana na uume wangu.
Huko ni Japan.
Huku ni Uhindi!
Rusha sarafu.
Ikiwa ni vichwa, basi nitakata kichwa chake.
Ikiwa ni mkia, basi nitaukata uume wake.
Ni nini?
-Mikia! -Mushtaq Bhai!
Tatu bora zaidi! Sawa.
Ni mikia pande zote mbili!
Huku ni kudanganya.
Kwa nini unataka kuudhuru uume wangu?
Unafanya nini?
Mushtaq bhai!
Usifanye hivi tafadhali!
Sisi ni jamaa. Unafanya nini?
Mvue suruali.
Vuta uzi.
Vuta uzi.
-Wewe! -Wewe!
Unafanya nini, Babban?
Naapa nitaulipua ubongo wangu.
Hili halifai mwanangu.
Nipe bunduki.
-Nipe funguo za gari. -Nipe bunduki kwanza.
Sawa, usinipe.
Utawajibika kwa kifo changu.
Babban!
Nitahesabu hadi tatu.
Baada ya tatu nitakufa.
Sikiza, mwanangu...
Moja.
Mbili.
Sifanyi mzaha kaka.
Mshike.
Simama!
Mushtaq Bhai. Nakuahidi.
Nitakuletea mkufu wa mkeo,
au uume wa Khalu.
Nitalichukua gari lako.
Samahani!
Simama.
Mshenzi!
Ametoroka tena.
Sielewi. Kwa nini unamruhusu atoroke kila wakati?
Umemsikia Batman?
Ndiyo, nimemsikia.
Joker akifa, Batman atafanya nini?
-Nini? -Atakaa nyumbani na kukanda unga!
Wewe ni Joker?
-Nani? -Batman!
Honi ni sawa tafadhali.
Sijui ikiwa naja au naenda.
Kucheka au kulia.
Honi ni sawa tafadhali.
Sijui ikiwa naja au naenda.
Kucheka au kulia.
Je, nazungukazunguka ovyo
au kubadilisha gurudumu upya?
Sijui ikiwa naja au naenda.
Kucheka au kulia.
Nashangaa gari litaanguka wapi.
Ni pancha pekee itakayolisimamisha.
Nashangaa gari litaanguka wapi.
Ni pancha pekee itakayolisimamisha.
Hadi wakati huo, litazunguka wapi?
Litasimama likiona ishara?
Krishna ataishi vipi bila mpenzi wake?
Kutangatanga mitaani tu.
No comments yet. Be the first to leave one.